jaribio_la_2

MBAO YAMSAINISHA AMRI SAIDI

Mwenyekiti wa timu ya  Mbao, Solly Njashi (kushoto) na Aliyekuwa kocha wa timu ya Lipuli ya Iringa, Amri Said wakisaini mkataba wa kuifundisha timu ya Mbao ya jijini Mwanza kwenye ofisi ya mdhamini wao kampuni ya GF Trucks & Eouipments jijini Dar es Salaam.Picha na Said Khamis


Mwenyekiti wa timu ya  Mbao, Solly Njashi (kushoto) na Aliyekuwa kocha wa timu ya Lipuli ya Iringa, Amri Said wakibadilishana nyaraka baada ya kusaini mkataba wa kuifundisha timu ya Mbao ya jijini Mwanza kwenye ofisi ya mdhamini wao kampuni ya GF Trucks & Eouipments jijini Dar es Salaam  .Picha na Said Khamis

 Amri Said akikabidhiwa moja ya Tshirt yenye nembo ya mdhamini na Mkurugenzi wa kampuni ya GF Trucks ,Imran Karmal wakati wa hafla hiyo.Picha na Said Khamis

Amri Said akikabidhiwa moja ya Tshirt yenye nembo ya mdhamini na Mkurugenzi mwenza wa kampuni ya GF Trucks,All jawd Karmal wakati wa hafla hiyo.Picha na Said Khamis

Mwenyekiti wa mbao akiwa katika picha ya pamoja na Wakurugenzi wa GF na Kocha Amri Said baada ya kukamilika kwa taratibu zoote za kusaini .Picha na Said Khamis

No comments

Powered by Blogger.