jaribio_la_2

Picha Kumi za nguvu Mbao Fc ilipocheza na Singida United


Hebert Lukindo akimtoka beki wa singida united

Habib Haji akishangila goli la kusawazisha dhidi ya singida united

Sadala lipangile tayari kwa ukaguzi kabla ya mechi

Le Captain Yusufu Ndikumana akinyoosha viungo kabla ya mtanange kuanza

Kazi nzuri huanza na dua kwa mwenyezi Mungu

Manuuu......Tayari kwa kazi

 
 Kassanga Chuse akipambanana na Deus Kaseke wa Singida United


Amos Abel akimuacha beki wa stendi united



 
 

No comments

Powered by Blogger.